Back to the previous page

Artist: Diamond Platnumz
Album:  Tandale
Song:   Nikuone
Typed by: AZ Lyrics

Mangapi niliona
Wala sikujali
Nikafumba macho
Na tena yaliyonchoma
Maumivu makali
Manyanyaso
Si mzima wa nafsi
Siwezi kudanganya
Uwepo wako
Unanifanya nalia
Fanya urudi basi
Japo kuntazama
Oh, me mwenzako
Ukweli naumia

Kinachiniongeza kizunguzungu
Hata huniwazi
Kutwa nakesha nikimuomba mungu
Wallah simanzi
Kinachoniongeza mawazo
Hata huniwazi
Kutwa nakesha nikilalamika
Njoo basi nikuone

Nikuone (nikuone)
Nikuone (nikuone)
Nikuone (nikuone mama)
Ukowapi nikuone
Nikuone (nikuone)
Nikuone (japo nipone)
Nikuone (niiiikuone)

Oh, na roho yangu inaenda
Manjegere manjegere manjegere
Ah, roho yangu
Manjegere manjegere manjegere
Nimekukumbuka sana, oh
Manjegere manjegere manjegere
Mwenzio roho yangu
Manjegere manjegere manjegere
Hata silali

Kutwa nzima nawaza
Kisa nini darling
Kama sikukupa raha
Bado sijajua
Namaliza naianza
Nijapo tafakari
Njoo uniwashie taa
Kiza kitaniua
Muda mwingine nakesha tuu macho
Usingizi sina
Ikinijiaga tu sura yako
Huwa nazizizma
Mpaka nashikwa
Kigagaziko hata maneno kuyaongea
Yote sababu ya masikitiko
Haki ya mungu unanionea

Kinachiniongeza kizunguzungu
Hata huniwazi
Kutwa nakesha nikimuomba mungu
Wallah simanzi
Kinachoniongeza mawazo
Hata huniwazi
Kutwa nakesha nikilalamika
Njoo basi nikuone

Nikuone (nikuone)
Nikuone (njoo basi nikuone)
Nikuone (nikuone mama)
Ukowapi nikuone
Nikuone (nikuone)
Nikuone (eh eh eh nipone)
Nikuone (niiiikuone)

Oh, na roho yangu inaenda
Manjegere manjegere manjegere
Ah, roho yangu
Manjegere manjegere manjegere
Nimekukumbuka sana, oh
Manjegere manjegere manjegere
Me mwenzio roho yangu
Manjegere manjegere manjegere
Hata silali

Niliyoyasikia ya leo
Makubwa
Afadhali ya jana
Makubwa
Huwaga naona kwa video
Makubwa
Aah... Ni mazito mama
Niliyoyasikia ya leo
Makubwa
Afadhali ya jana
Makubwa
Huwaga naona kwa video

Oh, na roho yangu inaenda
Manjegere manjegere manjegere
Ah, roho yangu
Manjegere manjegere manjegere
Nimekukumbuka sana, oh
Manjegere manjegere manjegere
Me mwenzio roho yangu
Manjegere manjegere manjegere
Eeh... Hata silali