Artist: Diamond Platnumz Album: Acha Nikae Kimya (S) Song: Acha Nikae Kimya Typed by: AZ Lyrics Mama ananiambia Nasibu mi ni Mtu mzma nawe ndo nakutegemea Yanayotokea jaribu kupiga kimya Usidiriki ata kuongea Mara nasikia vya aibu Konda Gwajima Eti ugomvi umekolea Kuchunguza karibu ni binti mmoja Kwa mitandao anachochea Najariibu kunyamaza ila moyo hautakii Unanambia eti Simba japo unguruma uisemee hakii Ooh najaribu kunyamaza ata Lizer ataki yooh Anasema walau nena kidogo hiih Na mashabiki Dangote Wananambia mbona husemi chochote ah Si uko nao siku zote Ama ulezi unafanya uogope ah Na media pande zote Wanalalama kiongozi atoke eh Nchi inaingia matope Niende wapi na mi mtoto wa wote Yaani lawama Wacha nikae kimya Mmh nisiongee (Kimya) Ooh ninyamaze mimi (Nikae kimya) Nisiseme (Kimya) Mama kaniambia (Wacha nikae kimya) Ooh nifunge mdomo (Kimya) Mie bado mdogo sana (Nikae kimya) Nisiseme (Kimya) Mmh ni mengi majaribu Najitahidi epuka yasije nicost Japo mengine swadakta mengine hayana maana Rafiki kipenzi wa karibu Hata nyimbo yake sikuweza ipost Ila alivokamatwa iliniumiza sana Mitandaoni kila kona Uongo na ukweli unashonwa Kila nyumba inanong'ona Ah oh Tanzania Mara kimbembe Dodoma Bunge upinzani wamegoma Juzi akapotea na Roma Ohh Tanzania Najaribu kunyamaza Makame hataki yooh Ananiambia walau nena kidogo Nyumbani nafungua gate Niende kwa Mangi nunua supergate eh Napewa za chini ya carpet Kuna radio imevamiwa eti eh Napita kwenye (Magazeti) Nakuta rundo la watu (Wameketi) eh Badala ya kutafuta cent Wanabishana tu mambo ya vyeti Wacha nikae kimya Ooh nisiongee (Kimya) Ninyamaze Kabisa (Nikae kimya) Eh! ulimi koma! (Kimya) Usije kunipoonza!(Acha nikae kimya) Nifunge bakuli langu! (Kimya) Nikojoe nikalale! (Nikae kimya) Mi bado mdogo sana (Kimya) Mama kaniambia Oh najiuliza (Waaaapi) Najiuliza (Waaaapi) Tunakwenda wapi (Waaaapi) Kila siku maneno (Waaaa) Ah tuacheni jamani (Waaapi) Mi na we ni taifa moja (Waaapi) Kambarage baba mmoja (Waaaapi) Sa tofauti za nini (Waaa) tushikamane tukaijenge Tanzania